Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya VIDEO ZA YOUTUBE

MOZEY BROWN - AGGY (Official Music Video)

Picha
 

SIMBA YAICHAPA 2 DODOMA JIJI

Picha
Dar es salaam Mabingwa mara nne wa ligi kuu ya Tanzania, klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao mawili safi. Simba ikicheza mbele ya mashabiki wake katika uwanja wa kumbukumbu ya hayati Benjamini Mkapa ,timu hiyo ilijipatia goli la kwanza kunako dakika ya 56 kwa mkwaju mkali wa penati uliokwamishwa kimyani na Clatous Chama huku goli la pili likipatikana dakika ya 75 kwa kichwa cha Meddie Kagere. Simba inafikisha alama 37 nyuma ya Yanga mwenye alama 45 baada ya michezo 17 ya NBC PREMIER LEAGUE.  

SIMBA YAICHAPA 2 DODOMA JIJI

Picha
Dar es salaam Mabingwa mara nne wa ligi kuu ya Tanzania, klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao mawili safi. Simba ikicheza mbele ya mashabiki wake katika uwanja wa kumbukumbu ya hayati Benjamini Mkapa ,timu hiyo ilijipatia goli la kwanza kunako dakika ya 56 kwa mkwaju mkali wa penati uliokwamishwa kimyani na Clatous Chama huku goli la pili likipatikana dakika ya 75 kwa kichwa cha Meddie Kagere. Simba inafikisha alama 37 nyuma ya Yanga mwenye alama 45 baada ya michezo 17 ya NBC PREMIER LEAGUE.  

CHECHE ZA MBOWE LEO IRINGA KWENYE SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Picha
Iringa. Mwenyekiti wa taifa CHADEMA Freeman Mbowe akiwa uraiani leo kwa siku ya nne toka atoke gerezani àmekutana na wanawake wa BAWACHA mkoa wa Iringa kwenye siku ya wanawake duniani. Mbowe ambaye ametoa hotuba yake kwa tahadhali kubwa amesema "CHADEMA haikwamishi mipango ya serikali bali serikali inakwama ikiiona CHADEMA". Mbowe ametumia fursa hiyo kuwashauri wanawake kuchangamkia fursa za Uongozi .

SIMBA YAICHAPA BIASHARA 3-0 LIGI YA NBC

Picha
Dar es salaam. Ligi ya NBC imeendelea leo ikizikutanisha timu za Simba Football Club na Biashara United  kwenye uwanja wa kumbukumbu ya hayati Benjamin Mkapa "Lupaso". Timu ya Simba ikitawala mchezo huo imeibuka na ushindi wa mabao matatu yaliyokwamishwa nyavuni na Sakho 8' , Mzamiru 13'  na Chama 18"  yote yakifungwa kipindi cha kwanza cha mchezo. Baada ya mchezo huo Simba imefikisha jumla ya alama 34 nyuma ya vinara Yanga wenye jumla ya alama 42. VIKOSI VYA TIMU ZOTE

Gigy Money-SASAMBUA (AUDIO official)

Picha
 

Nay wa Mitego-Tumerogwa (Audio Official)

Picha
 

JUX ft GYAKIE - I LOVE YOU (Official video)

Picha
 

MDOGO WAKE DIAMOND AMKATAA RAYVANNY

 

MWIJAKU ALIVYOMNASA NANDY AKICHEPUKA

 

NEY WA MITEGO AUCHAMBUA WIMBO WAKE

  Tazama mwanzo mwisho.

MWANAUME AOA WANAWAKE WATATU MAPACHA

Direct Katika hali ya kushangaza mwanaume huyu amewaoa wanawake mapacha na kuzua gumzo duniani.

SIMBA YAKUBALI KUCHAPWA NA MBEYA CITY

Picha
Mbeya. Timu ya Simba sports club ya jiji Dar es salaam imekubali kichapo cha goli moja bila majibu kutoka kwa Mbeya City ya jijini Mbeya.

HIZI NDIZO SABABU ZA SPIKA JOB NDUGAI KUJIUZULU

Picha
Dodoma. Aliyekuwa Spika wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Job Ndugai amejitokeza na kutaja sababu za kuachana na uspika huo.

ZUCHU- Mwambieni (Official Lyrics)

Picha
Wimbo wa msanii Zuchu umetoka na ndio lyrics zake.

HISTORIA YA MPIGANIA UHURU AFRIKA DESMOND TUTTU(90)

Picha
Johannesburg. Habari ya kuhuzunisha ni ya kufuatia aliyekuwa Askofu wa muda mrefu wa jimbo la Gauteng ,Desmond Tuttu kufariki akiwa na umri wa miaka 90. Hii ndio historia yake mwanamajumui wa Afrika.

YANGA YAICHAPA BIASHARA 2-1 KWENYE LIGI YA NBC TANZANIA.

Picha
Dar es salaam. Timu ya Yanga ya jijini Dar es salaam imefanikiwa kuichapa timu ya Biashara ,Mara jumla ya magoli mawili (2) kwa moja (1). Mpaka sasa Yanga wanaongoza ligi ya NBC PREMIER LEAGUE.

HOTUBA YA RAIS SAMIA MKOANI MARA

Picha
MUSOMA. Rais wa Tanzania Samia Suluhu leo amefanya ziara ya kikazi ya siku 3 mkoani Mara ,katika ziara hiyo Rais anategemea kufungua na kukagua baadhi ya miradi ya maendeleo imesema taarifa ya mkuu wa mkoa huo Ally Happi.

SIMBA YAICHAPA ASEC 3 -1 MICHUANO YA SHIRIKISHO

Picha
Dar es salaam Timu ya ASEC MIMMOSA imekubali kipigo cha magoli 3 dhidi ya 1 mbele ya Simba Sports Club ya Tanzania kwenye michuano ya Shirikisho barani Afrika. _Tazama magoli yote.

MAMBO 10 USIYOFAHAMU KUHUSU VLADIMIR PUTIN WA URUSI

Picha
CRIMEA. Rais wa Urusi Vladimir Putin  huenda akawa kiongozi mbabe zaidi Duniani kutokana na hatua ya majeshi yake kuipiga nchi ya Ukraine. Putin ameamua kuipiga Ukraine kama hatua ya kuonyesha jeuri yake kuwa anaweza kuilinda Urusi dhidi ya maadui wa nchi hiyo ya Ulaya Mashariki.