Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi 13, 2022

LEMA NA ZITTO WATOFAUTIANA

Picha
Dar es salaam. Wanasiasa wawili maarufu nchini,Godbless Lema ambaye alikuwa Mbunge wa Arusha Mjini na Mwenyekiti wa ACT WAZALENDO ,Zitto Kabwe wamejikuta katika vita ya maneno kwa kutuhumiana. Godbless Lema kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter ,amemfananisha kijana ambaye hakumtaja jina na mmoja wa mwanasiasa mkongwe nchini Mzee Augustine Lyatonga Mrema,Mwenyekiti wa TLP Taifa.Lema amenukuliwa akiandika hivi;- "kuna kijana mmoja ana-behave na anataka aonekane kama mpinzani wa kweli huku kimsingi yeye ni kama Mrema wa TLP ,lakini yeye akiwa amechangamka zaidi" Baada ya andiko hilo ,naye Zitto Kabwe aliandika chini ya andiko hili kwa maneno yanayonukuliwa:- "Kijana huyohuyo,ndiye aliyekutoa wewe kwa Mrema ukaingia ulipo sasa mwaka 2007 kwa kushirikiana na wadau wakiwemo viongozi wako kwasasa ndiyo watakuwekea mazingira mazuri ya siasa .Endelea wailing, sisi tunaweka mazingira mazuri ya kufanya siasa" Wafatiliaji wa Lema na wanaofatilia machapisho ya Lema walikuj

KURASA ZA MAGAZETI LEO MACHI 13,2022

Picha
 

MAKONDA AMUITA GSM TAPELI

Picha
Dodoma. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM,Shaka Hamdu,leo machi 12,2022 amezungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.Katibu huyo alitaka kueleza kilichojadiliwa kwenye kikao cha kamati kuu ya CCM kilichokaa hivi karibuni. Shaka ameeleza kati ya mambo yaliyojadiliwa na kikao cha kamati kuu ya CCM,Taifa ni pamoja na kuchunguza vitendo ambavyo vimekuwa vikifanywa na jeshi la polisi hasa kuwaonea raia kwa kuwabambikizia kesi. Baada ya taarifa h iyo,aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam,Paul Makonda aliibuka na kuandika haya kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram "naunga hoja mkono ya kamati kuu ya kuchunguza mwenendo wa baadhi ya maafisa wa jeshi la polisi ,wanalipaka tope jeshi la polisi kwa kuwalinda wafanyabiashara matapeli wanaodhulumu mali za watu.Naomba tuanze na Dar es salaam na mimi Paul Makonda nipo tayari kutoa ushirikiano. Haya ya Makonda yanajiri hivi karibuni baada ya kuwa na mgogoro wa nyumba yake iliyopo Masaki Dar es salaam inayothibitiwa na mfanyabiashara

MAKONDA AMUITA GSM TAPELI

Picha
Dodoma. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM,Shaka Hamdu,leo machi 12,2022 amezungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.Katibu huyo alitaka kueleza kilichojadiliwa kwenye kikao cha kamati kuu ya CCM kilichokaa hivi karibuni. Shaka ameeleza kati ya mambo yaliyojadiliwa na kikao cha kamati kuu ya CCM,Taifa ni pamoja na kuchunguza vitendo ambavyo vimekuwa vikifanywa na jeshi la polisi hasa kuwaonea raia kwa kuwabambikizia kesi. Baada ya taarifa h iyo,aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam,Paul Makonda aliibuka na kuandika haya kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram "naunga hoja mkono ya kamati kuu ya kuchunguza mwenendo wa baadhi ya maafisa wa jeshi la polisi ,wanalipaka tope jeshi la polisi kwa kuwalinda wafanyabiashara matapeli wanaodhulumu mali za watu.Naomba tuanze na Dar es salaam na mimi Paul Makonda nipo tayari kutoa ushirikiano. Haya ya Makonda yanajiri hivi karibuni baada ya kuwa na mgogoro wa nyumba yake iliyopo Masaki Dar es salaam inayothibitiwa na mfanyabiashara