Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari 18, 2022

ALIKIBA APATA PIGO KWENYE NDOA YAKE

Picha
Dar es salaam Msanii wa bongo fleva Alikiba amepewa siku 15 za kwenda kujitetea katika kesi inayomkabili. Kesi yake ambayo imefunguliwa na mke wake Amina Khalif kwenye mahakama moja mjini Mombasa Kenya imemtaka staa huyo kufika kutoa maelezo kabla ya uamzi wa kuvunjwa kwa ndoa ya wawili ao. Amina mapema mwaka huu aliitaka mahakama hiyo kuridhia kuvunja ndoa ya wawili hao huku ikitajwa kwamba familia ya Alikiba wamekuwa wakimnyanyasa mrembo huyo raia wa Kenya na pia Alikiba ameshindwa kumjali mke wake .

KURASA ZA MAGAZETI YA LEO

Picha