TYSON FURY AMPA TANO KLITSCHKO

Marekani. Staa wa uzito wa juu duniani, Tyson Fury, amewaunga mkono mabondia wa Ukraine , Wladimir Klitschko na Vital Klitschko kwa kitendo cha kujitoa kuipambania nchi yao katika vita inayoendelea dhidi ya Urusi. staa huyo alisema"