HOTUBA YA RAIS SAMIA MKOANI MARA
MUSOMA.
Rais wa Tanzania Samia Suluhu leo amefanya ziara ya kikazi ya siku 3 mkoani Mara ,katika ziara hiyo Rais anategemea kufungua na kukagua baadhi ya miradi ya maendeleo imesema taarifa ya mkuu wa mkoa huo Ally Happi.
Maoni