Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari 26, 2022

RAIS WA UKRAINE AKATAA KUIKIMBIA NCHI YAKE

Picha
Kiev. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amekataa ofa ya Marekani ya kumsaidia kuondoka Ukraine. Rais huyo amesema " mapambano yamefika,nahitaji risasi ,sio msaada wa kuondoka" Marekani na washirika wa Ukraine walikuwa tayari kumpa msaada Rais Zelensky kuondoka nchini mwake. Rais huyo ambaye amewahi kuwa mwigizaji wa majukwaani amekuwa Rais wa Ukraine tangu 2019.

KURASA ZA MAGAZETI JUMAMOSI YA 26/02/2022

Picha