SIMBA YAICHAPA BIASHARA 3-0 LIGI YA NBC


Dar es salaam.



Ligi ya NBC imeendelea leo ikizikutanisha timu za Simba Football Club na Biashara United kwenye uwanja wa kumbukumbu ya hayati Benjamin Mkapa "Lupaso".

Timu ya Simba ikitawala mchezo huo imeibuka na ushindi wa mabao matatu yaliyokwamishwa nyavuni na Sakho 8',Mzamiru 13' na Chama 18" yote yakifungwa kipindi cha kwanza cha mchezo.

Baada ya mchezo huo Simba imefikisha jumla ya alama 34 nyuma ya vinara Yanga wenye jumla ya alama 42.

VIKOSI VYA TIMU ZOTE




Maoni

HABARI KUU LEO

GUARDIOLA AWAPIGA DONGO LIVERPOOL

YANGA NA ARSENAL ZAGAWA DOZI