Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi 4, 2022

RAIS SAMIA NA MBOWE WALIVYOKUTANA IKULU LEO

 

MBOWE AKUTANA NA RAIS SAMIA

Picha
Dar es salaam. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan amekutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe yakiwa ni masaa machache baada ya kiongozi huyo kuachiwa na mahakama ya Divisheni ya makosa ya Jinai na uhujumu uchumi Ikulu jijini Dar es salaam. Mbowe ameachiwa mapema leo ni baada ya mwendesha mashtaka DPP kuamua kuachana na kesi hiyo namba 16/2021 ambayo ilimuweka Mbowe na wenzake watatu ndani  kwa siku 226.

MBOWE NA WENZAKE KUJITETEA LEO

Picha
Dar es salaam. Mwenyekiti wa CHADEMA , Freeman Mbowe na wenzake watatu leo wanatarajiwa kuanza kujitetea dhidi ya mashtaka ya ugaidi yanayowakabili. Hatua hii ni baada ya upande wa jamhuri kufunga ushahidi baada ya kuita mashahidi 13 na mahakama kuu (Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi) kuwakuta na kesi ya kujibu. Utetezi wa Mbowe na wenzake Halfan Hassan,Adam kusekwa na Mohamed Ling'wenye wanaoshtakiwa kupanga kulipua vituo vya mafuta na maeneo ya mikusanyiko ya watu kama masoko kwa lengo la kuifanya nchi isitawalike ,unasubiriwa kwa shauku kubwa na watu wengi.

KURASA ZA MAGAZETI MACHI 3,2022

Picha