Machapisho
Inaonyesha machapisho kuanzia Machi 4, 2022
MBOWE AKUTANA NA RAIS SAMIA
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
JUNITV
JUNI TV
-

Dar es salaam. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan amekutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe yakiwa ni masaa machache baada ya kiongozi huyo kuachiwa na mahakama ya Divisheni ya makosa ya Jinai na uhujumu uchumi Ikulu jijini Dar es salaam. Mbowe ameachiwa mapema leo ni baada ya mwendesha mashtaka DPP kuamua kuachana na kesi hiyo namba 16/2021 ambayo ilimuweka Mbowe na wenzake watatu ndani kwa siku 226.
MBOWE NA WENZAKE KUJITETEA LEO
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
JUNITV
JUNI TV
-

Dar es salaam. Mwenyekiti wa CHADEMA , Freeman Mbowe na wenzake watatu leo wanatarajiwa kuanza kujitetea dhidi ya mashtaka ya ugaidi yanayowakabili. Hatua hii ni baada ya upande wa jamhuri kufunga ushahidi baada ya kuita mashahidi 13 na mahakama kuu (Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi) kuwakuta na kesi ya kujibu. Utetezi wa Mbowe na wenzake Halfan Hassan,Adam kusekwa na Mohamed Ling'wenye wanaoshtakiwa kupanga kulipua vituo vya mafuta na maeneo ya mikusanyiko ya watu kama masoko kwa lengo la kuifanya nchi isitawalike ,unasubiriwa kwa shauku kubwa na watu wengi.
KURASA ZA MAGAZETI MACHI 3,2022
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
JUNITV
JUNI TV
-