Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi 10, 2022

MADRID YAIONDOSHA PSG UEFA

Picha
Madrid,HISPANIA. Magoli matatu ya dakika ya 61'76'78' ya Karim Benzema yametosha kuifanya timu ya Real Madrid  kuingia hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya. Real Madrid ikicheza nyumbani imepata ushindi wa mabao 3 dhidi ya Paris saint German  iliopata goli moja kupitia kwa Kylian Mbappe dakika ya 39. Magoli ya Benzema yameitupa nje PSG nje ya mashindano hayo na huku Benzema akiingia kwenye orodha ya wafungaji wa muda wote wa Real Madrid  akiwa na jumla ya magoli 309.Wengine ni  _ Cristiano Ronaldo 451 _Raul Gonzalez Blanco 323 _Alfredo Di Stefano 308 Jumla ya magoli yote kati ya PSG na Real madrid ni (3-2).

SIMBA YAICHAPA 2 DODOMA JIJI

Picha
Dar es salaam Mabingwa mara nne wa ligi kuu ya Tanzania, klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao mawili safi. Simba ikicheza mbele ya mashabiki wake katika uwanja wa kumbukumbu ya hayati Benjamini Mkapa ,timu hiyo ilijipatia goli la kwanza kunako dakika ya 56 kwa mkwaju mkali wa penati uliokwamishwa kimyani na Clatous Chama huku goli la pili likipatikana dakika ya 75 kwa kichwa cha Meddie Kagere. Simba inafikisha alama 37 nyuma ya Yanga mwenye alama 45 baada ya michezo 17 ya NBC PREMIER LEAGUE.  

MAGAZETI YA LEO MARCH 10,2022

Picha

SIMBA YAICHAPA 2 DODOMA JIJI

Picha
Dar es salaam Mabingwa mara nne wa ligi kuu ya Tanzania, klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao mawili safi. Simba ikicheza mbele ya mashabiki wake katika uwanja wa kumbukumbu ya hayati Benjamini Mkapa ,timu hiyo ilijipatia goli la kwanza kunako dakika ya 56 kwa mkwaju mkali wa penati uliokwamishwa kimyani na Clatous Chama huku goli la pili likipatikana dakika ya 75 kwa kichwa cha Meddie Kagere. Simba inafikisha alama 37 nyuma ya Yanga mwenye alama 45 baada ya michezo 17 ya NBC PREMIER LEAGUE.