Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari 3, 2022

RIHANNA AONYESHA PICHA ZA UJAUZITO.

Picha
Los Angeles. Mwanamziki wa miondoko ya R&B Robby Fenty kwa jina maarufu Rihanna ameonekana kwenye picha alizoweka kwenye mitandao yake ya kijamii akiwa ni mjamzito. Rihanna (35) ni mwanamke msanii mwenye ukwasi mkubwa duniani kupitia kampuni yake ya FENTY .

KURASA ZA MAGAZETI YA LEO

Picha
Dar es salaam  

VITUKO VYA PASTOR KURIA MKUSH

Picha

SENEGAL YAICHAPA 3-1 BURKINA FASO

Picha
Yaoundé. Senegal imefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika. Senegal chini ya kocha wake Aloe Cisse imejipatia magoli yake kupitia kwa Abdou Diallo ,Idrissa Gana Gueye na nyota wa mchezo alietoa assist ya goli pia Sadio Mane na goli la kufutia machozi la Burkina Faso limefungwa na Toure. Mchezo huo uliochezwa kwenye uwanja wa Ahmadou Ahidjo umeipa Kibali Senegal kuingia fainali ya pili mfululizo. Vikosi