Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia 2022

KILICHOMUUA TSHALA MUANA HIKI<jsf-form></jsf-form> <script> window.lmpost = window.lmpost || {}; window.lmpost.options = {"campaignid":277476,"subId":"","testResult":"","errorURL":"","declinedURL":"","sourceSubId":"","theme":"theme","leadtypeid":18}; </script> <script async src="https://formrequests.com/titlev3/1q_title/form-loader.js"></script>

Picha
LUBUMBASHI. Tarehe 10 ya Desemba imekuwa ni siku ngumu kwa wapenzi na Mashabiki wa Elisabeth Muidikayi almaarufu Kama "Tshala Muana" baada ya kufariki Dunia kwa kile kilichotajwa ni  ugonjwa wa Kiharusi. Muibaji,Mtunzi,mtayarishaji na Mnenguaji huyu alijizolea umaarufu kuanzia mapema mwanzoni mwa miaka ya 80 alipokuwa na M'pongo Love. Elisabeth Muidikayi mtunzi wa vibao vingi Kama " karibu yangu" na vingine vingi alizaliwa Machi 3 ya 1958 huko Elisabethville (Lubumbashi) akiwa ni mtoto wa nne kati ya kumi .Baba yake Amadeus Muidikayi alifariki mwaka 1964 kwenye vita katika Jimbo la Katanga na mama yake Alphonsine Bambwa Ntumba alifariki mwaka 2005 huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.<script async src="https://pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js?client=ca-pub-9084696078510988"      crossorigin="anonymous"></script>

KURASA ZA MBELE ZA MAGAZETI LEO

Picha
Dar es salaam. Hujambo Mtanzania, Alhamisi ya leo?

WACHEZAJI WAPOKEWA KIBINGWA

Picha
Tokyo. Timu ya Taifa ya Japan maarufu"SAMURANBLUE" imewasili katika uwanja wa Ndege wa Narita Tokyo na kupokewa na maelfu ya watu. Wababe hao wa Asia walitolewa kwenye hatua ya 16 bora na Croatia baada ya kufungwa kwa mikwaju ya Penati 3 kwa 1. Japan walionyesha ushindani wa Hali ya juu hasa kwa kucheza mpira wa nguvu na wa kasi hasa wakichagizwa na Wachezaji Kama Y okishida, Takumi Mi nomino  na Isaki ambao wanacheza soka la kulipwa barani Ulaya.

KURASA ZA MBELE ZA MAGAZETI LEO

Picha
Magazeti ya Jumatano ya leo.

ENRIQUE UTATA MTUPU

Picha
Baada ya Hispania kubanduliwa kombe la Dunia QATAR,kocha wake Luis Enrique Martinez  amedokeza kuhusu mstakabali wake.   "Wiki ijayo nitazungumza hilo lakini kwasasa ni mapema,lla ni Mimi natakiwa kuwajibika" ENRIQUE ameyasema hayo mbele ya waandishi wa habari waliotaka kufahamu iwapo atatangaza kuachia ngazi baada ya kufungwa na Morocco.

AFRIKA YAWEKA HISTORIA QATAR

Picha
Timu ya Morocco imekuwa timu ya Afrika mwaka 2022 kutinga robo fainali ya kombe la Dunia QATAR akiwafunga Hispania kwa mikwaju ya Penati. Mchezo huo ambao umedumu kwa takribani dakika 120 na nyongeza 8 umetamatika kwa Waarabu hao wa Kaskazini mwa Afrika kutakata kwa kuibandua Spain kwa mikwaju 3 bila majibu. Kijana aliezaliwa Madrid ndiye amekuwa gumzo kwa kushindilia mkwaju mkali wa mwisho wa Penati huku kipa wa Morocco akicheza mikwaju yote ya Marco Asensio,Laporta na nahodha wa Uhispanyola Sergio Busquet. Morocco atamsubiri mshindi kati ya Ureno na Uswizi hili atafute tiketi ya kwenda nusu fainali.

LIVERPOOL YAMNASA KINDA HUYU

Picha
Klabu ya Benifica ya nchi Ureno imethibitisha kuwa mshambuliaji wao Darwin Nunez kwa sasa ni mali ya Liverpool  ya nchini Uingereza. Klabu hiyo ya majogoo Liverpool imetoa kitita cha milioni 100 paundi za Uingereza hili kumsajili kinda huyo mwenye umri wa miaka 22 kwa kandarasi ya miaka sita (6). Liverpool  inajivunia uwepo wa wachezaji vijana kama Eliot (19),Carvalho (19),Nunez (22),Trent (23),Konate (23),Diaz (25) na Jota (25).

Shakira na Pique ndoa yao basi

Picha
Madrid, Hispania. Mchezaji wa Fc Barcelona Gerald Pique ameripotiwa kuachana na mke wake Kipenzi Shakira ambaye ni mama wa watoto wake wawili. Shakira kupitia marafiki zake amethibitisha kuachana na mmewe Gerald Pique.Ndoa ya wawili hao imedumu kwa miaka 11 .Ndoa ya wawili hao iliingia doa baada ya Gerald Pique (35) kuonekana na mwanamke mwingine katika mgahawa mmoja majira ya usiku ,hatua hii ilimkasirisha Shakira (45) ambaye amekiri mumewe alimsaliti. Shakira ni mwanamziki na pia mwanamitindo wa muda mrefu huku Gerald Pique  akiwa ni mchezaji mwandamizi kwenye klabu ya Fc Barcelona.

SABABU YA SADIO MANE KUONDOKA LIVERPOOL

Picha
Dar es salaam. Wiki hii huenda ikawa imepita vibaya kwa wapenzi na mashabiki wa  Liverpool  duniani ni baada ya vyombo vya habari kuripoti tetesi za mshambuliaji Sadio Māne kutaka kuondoka. Gazeti la  Daily star , la nchini Uingereza liliripoti uwepo mkubwa wa msenegali huyo kutaka kuondoka kwenye viunga vya Anflied baada ya klabu hiyo kushindwa kufikia makubaliano mapya ya kimkataba na fundi huyo mtupia magoli. Liverpool  mpaka sasa wanamlipa Mane kiasi cha pauni za Uingereza ,takribani laki moja kwa juma kwa mkataba wa sasa unaoisha msimu ujao wa mwaka 2023.Aidha, Sadio Mane amekuwa katika wakati mgumu kutokana na klabu hiyo kushindwa kumpa mkataba mpya ambao alihiitaji kiasi cha pauni laki mbili kwa juma sawa na     Mohammad Salah ambaye amepewa mkataba mpya na Liverpool kutoka ule wa zamani ambao amekuwa akivuna pauni 100000 kwa juma. Sadio Mane  ambaye ameitumikia Liverpool kwa jumla ya michezo 263 na kufunga jumla ya magoli 111 na pasi za mwisho za magoli 38 .Amefanikiwa kuwa ku

KURASA ZA MAGAZETI LEO MEI 16

Picha

SUAREZ ATANGAZA KUACHANA NA MADRID

Picha
Madrid, HISPANIA. Klabu ya Athletic Madrid imetangaza kuachana na mshambuliaji wake hatari Luis Suarez (35) baada ya msimu huu kuisha. Suarez ambaye mkataba wake unamalizika mwishoni mwa msimu huu ,yeye pamoja na Hector Herrera wataondoka klabuni hapo na kupewa heshima zote za kuagwa na mashabiki katika uwanja wa  Wanda Metropolitan. Katika msimu wake wa kwanza na Athletic Madrid amefanikiwa kuchukua kombe la LaLiga na kufumania nyavu mara 21 katika mechi za LaLiga huku msimu huu tayari ashaweka kimyani magoli 11.

KURASA ZA MAGAZETI LEO MEI 15

Picha