Machapisho

LIVERPOOL YATWAA UBINGWA WA CARABAO CUP

Picha
London. Timu ya majogoo wa Anfliend Liverpool  imetwaa ubingwa wa kombe la Carabao kwa jumla ya mikwaju ya Penati 11 na timu ya Chelsea imepoteza mkwaju wa golikipa Kepa Alzabaraga. Mechi hiyo iliyochezwa kwa jumla ya dakika 120 na kushuhudia ndani ya dakika 90,jumla ya magoli matatu yakikataliwa na VAR.

YANGA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3

Picha
Dar es salaam. Timu ya wananchi Yanga imejiweka juu ya msimamo wa ligi ya NBC PREMIER LEAGUE kwa alama 42 mbele ya Simba na Azam. Yanga Sports Club wamejipatia magoli yao kupitia Fiston Mayele (30",52) na Saido Ntibazonkiza (65"). Yanga wanafikisha alama 42 tofauti na Simba wenye alama 31. Wafungaji bora ndani ya kikosi cha kocha Nabil ni Fiston Mayele mwenye magoli 9 , Saido Ntibazonkiza magoli 6 na Feisal Salim "fei Toto" mwenye magoli 4. Msimu uliopita mpaka ligi inaisha mfungaji wa Yanga alikuwa Deu Kaseke (6) na  Yacouba Sogne (6).

SIMBA YAKUBALI KUCHAPWA NA MBEYA CITY

Picha
Mbeya. Timu ya Simba sports club ya jiji Dar es salaam imekubali kichapo cha goli moja bila majibu kutoka kwa Mbeya City ya jijini Mbeya.

HIZI NDIZO SABABU ZA SPIKA JOB NDUGAI KUJIUZULU

Picha
Dodoma. Aliyekuwa Spika wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Job Ndugai amejitokeza na kutaja sababu za kuachana na uspika huo.