YANGA YAICHAPA KAGERA SUGAR 3

Dar es salaam.



Timu ya wananchi Yanga imejiweka juu ya msimamo wa ligi ya NBC PREMIER LEAGUE kwa alama 42 mbele ya Simba na Azam.

Yanga Sports Club wamejipatia magoli yao kupitia Fiston Mayele (30",52) na Saido Ntibazonkiza (65").Yanga wanafikisha alama 42 tofauti na Simba wenye alama 31.



Wafungaji bora ndani ya kikosi cha kocha Nabil ni Fiston Mayele mwenye magoli 9 ,Saido Ntibazonkiza magoli 6 na Feisal Salim "fei Toto" mwenye magoli 4.

Msimu uliopita mpaka ligi inaisha mfungaji wa Yanga alikuwa Deu Kaseke (6) na Yacouba Sogne (6).


Maoni

HABARI KUU LEO

GUARDIOLA AWAPIGA DONGO LIVERPOOL

YANGA NA ARSENAL ZAGAWA DOZI