IRENE UWOYA ATOA SIRI YA KULA BATA

Dar es salaam.



Mrembo Irene Uwoya amesema hafahamu ni kiasi gani cha pesa huwa anatumia kula bata? Mrembwende huyo akipiga stori Ijumaa hii amesema watu wanakuwa wanafatilia mtindo wa maisha yake ya kula bata.

Mrembo huyu wa tasnia ya filamu Tanzania Bongo movie ametoa siri ya kula bata na kundi kubwa la watu anaosafiri nao nje na ndani ya nchi kwa kusema" pesa haitafutwi bali inategwa".

Irene Uwoya ambaye kwa siku za karibuni amekuwa akitrend mitandaoni akila bata na watu wake pia na manunuzi ya magari ya thamani kubwa na matukio mbalimbali zikiwepo kumbukizi za kuzaliwa za watu wake wa karibu.

Maoni

HABARI KUU LEO

MBIVU NA MBICHI RIPOTI YA MAUAJI MTWARA MEZANI KWA RAIS SAMIA

Pep Guardiola says he will try to make his half-time team talks shorter after Manchester City were fined £2million for late kick-offs by the Premier League.

SABABU ZILIZOIONDOA GSM KWENYE MPIRA WA TANZANIA