Msanii wa Bongo Fleva na mmiliki wa lebo ya KONDE GANG,Harmonize ametoa video ya wimbo wake aliomshirikisha Bruce Melodies hujulikanao kama "Totally Crazy).
Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepokea taarifa ya kamati maalum aliyoiunda kwaajili ya kuchunguza mauaji katika Mkoa wa Mtwara na wilaya ya Kilindi,Tanga. Akizungumza baada ya kupokea taarifa hiyo February 25,2022 jiji Dar es salaam ,Waziri Mkuu ameipongeza kamati hiyo kwa kazi kubwa waliofanya na kwa umakini mkubwa . Waziri Mkuu amenukuliwa " taarifa hii imeeleza kila kitu bayana kabisa na haya ndio matarajio ya serikali yetu kwamba mtumishi yeyote ndani ya serikali lazima awajibike kwa weledi ,uaminifu,na uadilifu mkubwa kwa kufanya shughuli hiyo shughuli za kuwatumikia wananchi zitakwenda vizuri sana". Akizungumza PM amesema taarifa ya kamati hiyo ataiwasilisha kwa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye alitoa maagizo ya uchunguzi wa vifo vya watu mkoani Mtwara na Wilaya ya Kilindi,Tanga. Waziri Mkuu akinukuliwa amesema "
City were slapped with the sanction for 22 separate violations over the last two seasons. That included them being nearly three minutes late restarting the second half of their last game of the campaign against West Ham when they were crowned champions at the Etihad Stadium. Guardiola was asked about the fine ahead of facing Chelsea in a friendly in Colombus, Ohio. He said: ‘I just read it in the news. I would try to do my speeches at half-time shorter.’ Speaking about his former assistant Enzo Maresca now being in charge of Chelsea, Guardiola said: ‘I'm really pleased for him. We spent a special year together. But more than when he was in the second team together, he is an incredible, lovely person. And his family, too. 'He did a really good job, unbelievable, at Leicester, promotion to the Premier League and now he is in one of the top five, six teams in England. 'And I wish him the best because he deserves it. Nice people deserve the best. ‘To be a manager is believing s...
Dar es salaam. Taarifa ya kushtua kwenye mpira wa Tanzania imetoka leo ni baada ya kampuni ya GSM kuamua kukaa pembeni kama mdhamini mwenza wa mpira wa miguu Tanzania. T aarifa ya Afisa mkuu wa biashara wa GSM Allan Chanjo imesema ,wao kama wadhamini wanajitoa kuwa wadhamini wenza wa ligi ya NBC PREMIER LEAGUE. Taarifa za GSM kujiondoa kwenye udhamini zinajiri ikiwa ni miezi miwili na wiki mbili tangu waingie mkataba na TFF novemba 23 2021. Wakata sakata hili likijiri TFF imethibitisha kupokea taarifa ya GSM na kuahidi kutoa ufafanuzi baadae.Kupitia mazungumzo na kituo cha WASAFI RADIO ,mmoja wa viongozi kwenye bodi ya ligi bw Kizuguto amekiri kupokea taarifa pia kutoka kwa katibu mkuu wa TFF. Udhamini wa GSM ulipata nakama kwa siku za mwanzoni baada ya klabu ya SIMBA FC kutaka maelezo zaidi juu ya mkataba wa udhamini wa TFF na GSM ambako Simba kupitia kwa mtendaji mkuu wake Barbara walikataa jezi za Simba kuchapwa nembo ya GSM . Taarifa za ndani kutoka chanzo...
Maoni