Machapisho

KURASA ZA MAGAZETI LEO MEI 2

Picha
Habari ya kwako mpenzi mfuatiliaji wa ukurasa huu, hizi ni kurasa za magazeti hivi leo. 

YANGA NA ARSENAL ZAGAWA DOZI

 Dar es salaam. Mchezo kati ya klabu ya Yanga na Namungo umemalizika hapa uwanja wa kumbukumbu ya Benjamini Mkapa kwa Yanga kuibuka na ushindi wa magoli mawili (2) kwa moja (1). Magoli ya Yanga yamefungwa na Fiston Mayele na Feisal Salim.  Kwingineko, Arsenal ya Uingereza imeibuka na ushindi wa magoli matatu bila majibu. 

KURASA ZA MAGAZETI LEO APRIL 18,2022

Picha
Karibu wasomaji wa magazeti kwa siku ya leo nzuri.

DIAMOND NA ALIKIBA MAMBO SAFI

Picha
Dar es salaam. Msanii Naseeb Abdul maarufu Diamond Platinumz akipiga stori kwenye kipindi cha "THE SWITCH" cha radio WASAFI FM inayorusha matangazo yake kutokea Mbezi beach ,Dar es salaam. Diamond Platinumz amesema hana wasiwasi wa kufanya kolabo na msanii Alikiba na hana ugomvi nae isipokuwa ni maneno ya mashabiki ,wanaowashindanisha kwenye mziki. Akipiga stori ,alijibu baadhi ya maswali ya watangazaji wa redio hiyo waliotaka kufahamu kama ana bifu na msanii mwenzake Alikiba,Diamond alikataa akidai kwamba kumshindanisha na wasanii wa ndani ni kuikosea tasnia ya mziki wa Bongo Fleva na watanzania pia.Diamond ambaye alifika kutambulisha EP yake ya "FOA" kwa mashabiki wake amejitambulisha kuwa sasa ni msanii namba 3 kwa Afrika. ila kuna mawazo ambayo watanzania tunatakiwa tuyafute ,ili wewe uonekane mkubwa lazima ugombane na mtu,Mimi sina noma halafu kila mtu namuheshimu kwa upande wake" Diamond Platinumz kwasasa anatoka na EP ya FOA yenye nyimbo kama Fresh📝📣so