Machapisho

DIAMOND NA ALIKIBA MAMBO SAFI

Picha
Dar es salaam. Msanii Naseeb Abdul maarufu Diamond Platinumz akipiga stori kwenye kipindi cha "THE SWITCH" cha radio WASAFI FM inayorusha matangazo yake kutokea Mbezi beach ,Dar es salaam. Diamond Platinumz amesema hana wasiwasi wa kufanya kolabo na msanii Alikiba na hana ugomvi nae isipokuwa ni maneno ya mashabiki ,wanaowashindanisha kwenye mziki. Akipiga stori ,alijibu baadhi ya maswali ya watangazaji wa redio hiyo waliotaka kufahamu kama ana bifu na msanii mwenzake Alikiba,Diamond alikataa akidai kwamba kumshindanisha na wasanii wa ndani ni kuikosea tasnia ya mziki wa Bongo Fleva na watanzania pia.Diamond ambaye alifika kutambulisha EP yake ya "FOA" kwa mashabiki wake amejitambulisha kuwa sasa ni msanii namba 3 kwa Afrika. ila kuna mawazo ambayo watanzania tunatakiwa tuyafute ,ili wewe uonekane mkubwa lazima ugombane na mtu,Mimi sina noma halafu kila mtu namuheshimu kwa upande wake" Diamond Platinumz kwasasa anatoka na EP ya FOA yenye nyimbo kama Fresh📝📣so

DIAMOND NA ALIKIBA MAMBO SAFI

Dar es salaam. Msanii Naseeb Abdul maarufu Diamond Platinumz akipiga stori kwenye kipindi cha "THE SWITCH" cha radio WASAFI FM inayorusha matangazo yake kutokea Mbezi beach ,Dar es salaam. Diamond Platinumz amesema hana wasiwasi wa kufanya kolabo na msanii Alikiba na hana ugomvi nae isipokuwa ni maneno ya mashabiki ,wanaowashindanisha kwenye mziki. Akipiga stori ,alijibu baadhi ya maswali ya watangazaji wa redio hiyo waliotaka kufahamu kama ana bifu na msanii mwenzake Alikiba,Diamond alikataa akidai kwamba kumshindanisha na wasanii wa ndani ni kuikosea tasnia ya mziki wa Bongo Fleva na watanzania pia.Diamond ambaye alifika kutambulisha EP yake ya "FOA" kwa mashabiki wake amejitambulisha kuwa sasa ni msanii namba 3 kwa Afrika. ila kuna mawazo ambayo watanzania tunatakiwa tuyafute ,ili wewe uonekane mkubwa lazima ugombane na mtu,Mimi sina noma halafu kila mtu namuheshimu kwa upande wake" Diamond Platinumz kwasasa anatoka na EP ya FOA yenye nyimbo kama Fresh📝📣so

KURASA ZA MAGAZETI LEO MACHI 14,2022

Picha
Dar es salaam Magazati ya leo yanasomeka hivi;-

LEMA NA ZITTO WATOFAUTIANA

Picha
Dar es salaam. Wanasiasa wawili maarufu nchini,Godbless Lema ambaye alikuwa Mbunge wa Arusha Mjini na Mwenyekiti wa ACT WAZALENDO ,Zitto Kabwe wamejikuta katika vita ya maneno kwa kutuhumiana. Godbless Lema kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter ,amemfananisha kijana ambaye hakumtaja jina na mmoja wa mwanasiasa mkongwe nchini Mzee Augustine Lyatonga Mrema,Mwenyekiti wa TLP Taifa.Lema amenukuliwa akiandika hivi;- "kuna kijana mmoja ana-behave na anataka aonekane kama mpinzani wa kweli huku kimsingi yeye ni kama Mrema wa TLP ,lakini yeye akiwa amechangamka zaidi" Baada ya andiko hilo ,naye Zitto Kabwe aliandika chini ya andiko hili kwa maneno yanayonukuliwa:- "Kijana huyohuyo,ndiye aliyekutoa wewe kwa Mrema ukaingia ulipo sasa mwaka 2007 kwa kushirikiana na wadau wakiwemo viongozi wako kwasasa ndiyo watakuwekea mazingira mazuri ya siasa .Endelea wailing, sisi tunaweka mazingira mazuri ya kufanya siasa" Wafatiliaji wa Lema na wanaofatilia machapisho ya Lema walikuj