KAJALA AFUNGA KUMUOMBEA MONALISA
Dar es salaam.
Frida Masanja au Kajala Masanja ;ni staa mkubwa wa Bongo Movies ambaye amemshukru MUNGU baada ya watanzania waliokuwa nchini Ukraine kufanikiwa kuondoka kutokana na vita akiwemo mtoto wa mwigizaji mwenzake ,Monalisa aitwaye Sonia.
Frida Masanja au Kajala Masanja ;ni staa mkubwa wa Bongo Movies ambaye amemshukru MUNGU baada ya watanzania waliokuwa nchini Ukraine kufanikiwa kuondoka kutokana na vita akiwemo mtoto wa mwigizaji mwenzake ,Monalisa aitwaye Sonia.
Kajala anasema kuwa,alifunga na kumuombea Sonia ambaye alikuwa masomoni nchini humo hili aweze kupita salama katika hali iliyotea Ukraine na kwasasa anamshukru MUNGU kwaajili ya Sonia kurudi na kuungana na familia yake akiwa salama.Sonia ni miongoni mwa watanzania waliofanikiwa kuondoka Ukraine wakiwa salama kupitia Urusi.
Maoni