RAYVANNY NA LOKOLE WAINGIA VITA YA MANENO


Dar es salaam.

Mtangazaji wa kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM ya jiji Dar es salaam Juma Lokole amejikuta kaenye ugomvi na msanii wa Bongo Fleva Rayvanny.

Mtangazaji huyo wakati akitangaza alitoa ushauri kwa msanii Rayvanny kwamba alifanya makosa kwa kuachana na mzazi mwenzake Fahma na kuamua kuwa na mahusiano na mrembo Paula.Kutokana na ushauri huo Rayvanny naye alimjibu mtangazaji huyo kupitia Insta story akimueleza kwamba aachane nae kwasababu yeye na mzazi mwenzake bado wanaheshimiana.

___Zaidi Tazama video

Maoni

HABARI KUU LEO

MBIVU NA MBICHI RIPOTI YA MAUAJI MTWARA MEZANI KWA RAIS SAMIA

Pep Guardiola says he will try to make his half-time team talks shorter after Manchester City were fined £2million for late kick-offs by the Premier League.

SABABU ZILIZOIONDOA GSM KWENYE MPIRA WA TANZANIA