RAIS VOLODYMYR ZELENSKIY WA UKRAINE ATAJA ATHARI ZA VITA NA URUSI

Kiev.



Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy ametoa taarifa ya athari za shambulio la Urusi kwa nchi yake huku akitaja jumla ya watu 137 kuwa wamepoteza maisha wakiwemo na wanajeshi 10 na mpaka sasa jumla ya majeruhi ni 316.

Rais Volodymyr amenukuliwa "leo nimewauliza viongozi 27 wa nchi za Ulaya kuhusu kuhofia shambulizi la Ukraine lakini hakuna aliyejibu ,sisi hatuogopi ,hatuogopi chochote ,hatuogopi kuilinda nchi yetu,hatuwaogopi Urusi na hatuogopi kuongea na Urusi.
Familia yangu ,watoto wangu wote ni raia wa Ukraine sio wakimbizi kulingana na taarifa tayari tuna maadui ambapo mimi ndio "target" yao ya kwanza na familia yangu ni "target" namba mbili .Wanataka kuimaliza ikulu"


Maoni

HABARI KUU LEO

GUARDIOLA AWAPIGA DONGO LIVERPOOL

YANGA NA ARSENAL ZAGAWA DOZI