Machapisho

MANCHESTER YAKUBALI KUBANWA NA BURNLEY

Picha
UINGEREZA. Klabu ya Manchester United chini ya kocha wake Ralf Rangnick imekubali kugawana point na klabu ya Burnley kwenye dimba la Tuf Moor Manchester ilitangulia kupata goli dakika ya 18 kupitia kwa Paul Pogba huku pia ikikosa goli lingine ni baada ya VAR kukataa goli la Sancho.   Burnley chini ya mkufunzi Steve Bruce ilisawazisha goli na kufanikiwa kupata pointi moja sawa na Manchester kupitia kwa Rodriguez dakika ya 47 ya mchezo. Wakati huo huo miamba wa London klabu ya Everton imekubali karamu ya magoli matatu(3) kutoka kwa matajiri Newcastle. Hii inajiri baada ya klabu ya Everton kumpa kandarasi mkufunzi Frank Lampard. Vilevile wababe wa London klabu ya Westham imechukua alama tatu mbele ya Watford.

MAGAZETI YA LEO FEBRUARY 9

Picha

SABABU ZILIZOIONDOA GSM KWENYE MPIRA WA TANZANIA

Picha
Dar es salaam. Taarifa ya kushtua kwenye mpira wa Tanzania imetoka leo ni baada ya kampuni ya GSM kuamua kukaa pembeni kama mdhamini mwenza wa mpira wa miguu Tanzania. T   aarifa ya Afisa mkuu wa biashara wa GSM Allan Chanjo imesema ,wao kama wadhamini wanajitoa kuwa wadhamini wenza wa ligi ya NBC PREMIER LEAGUE. Taarifa za GSM kujiondoa kwenye udhamini zinajiri ikiwa ni miezi miwili na wiki mbili tangu waingie mkataba na TFF novemba 23 2021. Wakata sakata hili likijiri TFF imethibitisha kupokea taarifa ya GSM na kuahidi kutoa ufafanuzi baadae.Kupitia mazungumzo na kituo cha WASAFI RADIO  ,mmoja wa viongozi kwenye bodi ya ligi bw Kizuguto amekiri kupokea taarifa pia kutoka kwa katibu mkuu wa TFF. Udhamini wa GSM ulipata nakama kwa siku za mwanzoni baada ya klabu ya SIMBA FC kutaka maelezo zaidi juu ya mkataba wa udhamini wa TFF na GSM ambako Simba kupitia kwa mtendaji mkuu wake     Barbara walikataa jezi za Simba kuchapwa nembo ya GSM . Taarifa za ndani kutoka chanzo kimoja zimethibiti

KURASA ZA MAGAZETI LEO

Picha
Dar es salaam