TYSON FURY AMPA TANO KLITSCHKO

Marekani.



Staa wa uzito wa juu duniani,Tyson Fury,amewaunga mkono mabondia wa Ukraine ,Wladimir Klitschko na Vital Klitschko kwa kitendo cha kujitoa kuipambania nchi yao katika vita inayoendelea dhidi ya Urusi.

staa huyo alisema"
"kuna sheria mbili duniani,mpende mwanamke wako na pambania nchi yako ,hivyo wacha wapambanie nchi yao jambo ambalo ni muhimu,mimi niko pamoja nao.

Kwa sababu unaweza kutafuta pesa halafu mwisho wa siku ukashindwa kurudi nyumbani na kutamba,hivyo ni bora kwenda kupambania nchi yako.

Vijana endeleeni kupambana bila kuchoka na wala msikate tamaa,msijisalimishe, tuko pamoja "

Mwaka 2015,Fury alifanikiwa kupambana na bondia Wladimir Klitschko na kushinda.

Maoni

HABARI KUU LEO

MBIVU NA MBICHI RIPOTI YA MAUAJI MTWARA MEZANI KWA RAIS SAMIA

Pep Guardiola says he will try to make his half-time team talks shorter after Manchester City were fined £2million for late kick-offs by the Premier League.

SABABU ZILIZOIONDOA GSM KWENYE MPIRA WA TANZANIA