RAIS WA UKRAINE AKATAA KUIKIMBIA NCHI YAKE

Kiev.



Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amekataa ofa ya Marekani ya kumsaidia kuondoka Ukraine.

Rais huyo amesema "mapambano yamefika,nahitaji risasi ,sio msaada wa kuondoka"

Marekani na washirika wa Ukraine walikuwa tayari kumpa msaada Rais Zelensky kuondoka nchini mwake.
Rais huyo ambaye amewahi kuwa mwigizaji wa majukwaani amekuwa Rais wa Ukraine tangu 2019.


Maoni

HABARI KUU LEO

ENRIQUE UTATA MTUPU

WACHEZAJI WAPOKEWA KIBINGWA

SABABU YA SADIO MANE KUONDOKA LIVERPOOL