YANGA NA ARSENAL ZAGAWA DOZI
Dar es salaam. Mchezo kati ya klabu ya Yanga na Namungo umemalizika hapa uwanja wa kumbukumbu ya Benjamini Mkapa kwa Yanga kuibuka na ushindi wa magoli mawili (2) kwa moja (1). Magoli ya Yanga yamefungwa na Fiston Mayele na Feisal Salim. Kwingineko, Arsenal ya Uingereza imeibuka na ushindi wa magoli matatu bila majibu.