Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2022

YANGA NA ARSENAL ZAGAWA DOZI

 Dar es salaam. Mchezo kati ya klabu ya Yanga na Namungo umemalizika hapa uwanja wa kumbukumbu ya Benjamini Mkapa kwa Yanga kuibuka na ushindi wa magoli mawili (2) kwa moja (1). Magoli ya Yanga yamefungwa na Fiston Mayele na Feisal Salim.  Kwingineko, Arsenal ya Uingereza imeibuka na ushindi wa magoli matatu bila majibu. 

KURASA ZA MAGAZETI LEO APRIL 18,2022

Picha
Karibu wasomaji wa magazeti kwa siku ya leo nzuri.