MAYELE KUONDOKA YANGA

Dar es salaam.



Mshambuliaji wa timu ya Yanga Sports Club RAIA wa Demokrasia ya Congo ,Fiston Kalala Mayele ameripotiwa kuwa kwenye rada za klabu ya Kaizer Chiefs ya nchini Afrika Kusini.

Mayele mwenye jumla ya magoli 10 kwenye ligi ya NBC Tanzania amekuwa gumzo kwenye nchi za Afrika kutokana na jinsi anavyozifumania nyavu na staili yake ya ushangiliaji.



Timu ya Kaizer Chiefs ipo kwenye mazungumzo na mawakala wa mchezaji huyo hili wamsajili kuchukua nafasi ya mshambuliaji Serbic Samir Nurkovic anaetarajia kuondoka kunako timu hiyo.

Maoni

HABARI KUU LEO

GUARDIOLA AWAPIGA DONGO LIVERPOOL

YANGA NA ARSENAL ZAGAWA DOZI