YANGA YATINGA ROBO FAINALI KIBABE


Dar es salaam

Klabu ya Yanga Sports Club imefanikiwa kuingia hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la shirikisho la TFF baada ya kuilaza Biashara United ya mkoani Mara kwa jumla ya magoli mawili (2) kwa moja (1).

Yanga ikitakata vema kwenye uwanja wa Mkapa imejipatia magoli yake kupitia kwa Yanic Bangala na Fiston Mayele huku goli pekee la timu ya Biashara United likifungwa na Collins Opare .

Yanga inaingia hatua hii huku timu za Azam Fc,Geita Fc,Kagera sugar ,Coastal Union na Polisi Tanzania zikiwa zimeshatangulia kwenye hatua hio.

Maoni

HABARI KUU LEO

GUARDIOLA AWAPIGA DONGO LIVERPOOL

YANGA NA ARSENAL ZAGAWA DOZI