HAKUNA NDOA YA DIAMOND NA ZUCHU HIKI NDIO KILIFANYIKA


Dar es salaam.

Wasanii wa kizazi kipya Diamond Platnumz na Zuchu wamefanya shughuli kubwa katika ukumbi wa Mlimani City.

Katika tukio hilo lililoteka hisia za watu wengi hasa katika jiji la kibiashara la Dar es salaam ,wengi walifahamu fika msanii kipenzi cha watu Diamond Platnumz anamuoa msanii wa lebo yake ya WCB  Zuchu.

Katika hali ya hisia za watu kwamba ni ndoa kati ya wawili ao lakini mambo yalikuwa ya tofauti ni baada ya kilichohisiwa kuwa ndoa kugeuka maonyesho ya nyimbo tu.

Maoni

HABARI KUU LEO

MBIVU NA MBICHI RIPOTI YA MAUAJI MTWARA MEZANI KWA RAIS SAMIA

Pep Guardiola says he will try to make his half-time team talks shorter after Manchester City were fined £2million for late kick-offs by the Premier League.

SABABU ZILIZOIONDOA GSM KWENYE MPIRA WA TANZANIA