SENEGAL WAICHAPA MISRI 4-2 WAKITWAA UBINGWA AFRIKA
Yaoundé Cameroon.
Timu ya taifa ya Senegal imetwaa ubingwa wa michuano ya kombe la mataifa Afrika.
Senegal chini ya mkufunzi Aliou Cisse imetwaa ubingwa huo ikiwa ni mara ya kwanza tangu michuano hii kuanzishwa.
Senegal yenye nyota
kama Sadio Mane ilijaribu karata ya ubingwa huu miaka mitatu iliopita na kuishia kushika nafasi ya pili ni
baada ya kufungwa kwenye fainali na Algeria.
Mchezo wa fainali umechezwa katika uwanja wa Olembe kwenye mji mkuu wa Yaounde.
Maoni