MISRI YAICHAPA CAMEROON 3-1

Yaoundé.



Leo nusu fainali ya pili imechezwa kwenye dimba la Limbe ikiikutanisha miamba wa Afrika Cameroon dhidi ya  Misri.



Mechi hii iliochezwa kwa takribani dakika 120 imeamliwa kwa mikwaju ya penati baada ya Misri kupata mikwaju mitatu (3) huku Cameroon ikipata mkwaju mmoja (1).

Misri mabingwa mara saba( 7) wa kombe hili wanamfuata Senegal ambaye alitinga hatua ya fainali baada ya kuibandua Burkina Faso magoli matatu (3) dhidi ya moja (1).





Misri ametinga fainali kwa kumgaragaza mwenyeji Cameroon huku Kocha wake mkuu Carlos Queroz  akilimwa Kadi nyekundu na huku benchi pia la ufundi likikosa huduma ya kocha msaidizi ambaye pia alifungiwa mechi NNE (4) za mashinda






Maoni

HABARI KUU LEO

MBIVU NA MBICHI RIPOTI YA MAUAJI MTWARA MEZANI KWA RAIS SAMIA

Pep Guardiola says he will try to make his half-time team talks shorter after Manchester City were fined £2million for late kick-offs by the Premier League.

SABABU ZILIZOIONDOA GSM KWENYE MPIRA WA TANZANIA